Wednesday, 9 April 2014

KIGOMA MAMBO YALIKUWA HIVI, MAELFU WAHUDHURIA




Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akuhutubia maelfu ya wananchi katika Kijiji cha Kurugongo, wilayani Kasulu mkoani Kigoma leo jioni. Kinana yupo katika ziara ya siku tano mkoani Kigoma kukagua utekelezaji wa ilani ya Chama, kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia ya kuzitatua

No comments:

Post a Comment