Pata Habari Motomoto za Nje na Ndani ya Nchi kwa njia ya E-mail, Andika E-mail yako hapo chini.


Showing posts with label international relationship. Show all posts
Showing posts with label international relationship. Show all posts

Prince William kuzungumza na Obama

Rais wa Marekani Barack Obama na mkewe Michelle Obama wakiwa na Prince William na mkewe Kate

Prince William wa Uingereza anakutana Jumatatu na Rais wa Marekani Barack Obama huko White house. Mfalme huyo wa baadae anatarajiwa kuzungumza na Rais kuhusu biashara haramu ya wanyama pori.
Baada ya mkutano wake na bwana Obama, William atatoa hotuba  kwenye mkutano wa Benki ya Dunia wa International Corruption Hunters Alliance mjini Washington.
Anatarajiwa kusema biashara haramu ya pembe za ndovu,  pembe za faru na sehemu nyingine za mnyama ni “moja ya chanzo kikuu cha rushwa na uhalifu duniani hii leo” na wale wanaoangalia “njia nyingine au wanatumia  mapato haramu  kwa uhalifu huu lazima wawajibishwe”. 
Prince William pia ataelezea kwamba baadhi ya viungo vya mnyama vina thamani kubwa zaidi ya uzito wao katika dhahabu.
Prince Harry (L) Kate (C) na Prince William (R) wakiwa GlasgowPrince Harry (L) Kate (C) na Prince William (R) wakiwa Glasgow
William, mke wake Kate na kaka yake Prince Harry ni waanzilishi wa taasisi ya hisari  ya Britains United for Wildlife.
Familia hiyo maarufu ya malkia wa Uingereza iliwasili New York, Marekani jumapili kwa ziara ya siku tatu nchini Marekani. Ni mara yao ya kwanza kwa familia hiyo kufika jiji la New York

ROSE MHANDO: NILITEKWA KWA BASTOLA NIKAPELEKWA PORINI KUFANYA MAPENZI

Stori: Erick Evarist na Imelda Mtema
NYOTA wa Nyimbo za Injili Bongo, Rose Mhando (pichani)amefungukia eneo fupi la maisha yake magumu ambapo alisema amewahi kutekwa kwa bastola na mwanaume mmoja, akampeleka msituni ambako alimlazimisha kuwa naye kimapenzi lakini akadunda.
Nyota wa Nyimbo za Injili Bongo, Rose Mhando.
Akizungumza na Gazeti la Amani juzi, Rose alieleza kwa machungu kwamba, tukio hilo lilimkuta hivi karibuni mjini Dodoma ambako ndiko kwenye makazi yake ya kudumu.Ilikuwa ni katika mahojiano ya kukiri kwake (my confession) ambapo Rose aliweka bayana kuhusu mazingira ya tukio hilo la kushangaza.
MSIKIE MWENYEWE
“Dunia ina mambo mengi sana ndugu zanguni, wengine wema, wengine waovu. Mimi nakumbuka siku moja kuna mwanaume ambaye nilikuwa na ukaribu naye.“Huyu bwana, ana jina kubwa sana Dodoma. Alinichukua kwenye gari kwa ajili ya kunisaidia mambo fulani maana alikuwa ananisaidia katika kazi zangu.
Bunduki, Mabomu pamoja na Magazine.
“Nilishangaa kumuona anapeleka gari nje ya mji,  nikamuuliza tunakwenda wapi, akasema tulia utajua.
“Sikuwa nimemuwazia ubaya, hivyo nilitulia lakini matokeo yake akanipeleka hadi porini ambako alikutana na watu wengine, naamini walikuwa wasaidizi wake.
“Naamini ulikuwa mpango kabambe. Wale watu wakaniweka chini ya ulinzi na kunifunga kamba kisha wakanioneshea mtutu wa bastola,” alisema Rose huku akisisitiza ni tukio ambalo hawezi kulisahau.
AAMBIWA KISA
Rose aliendelea kudai kuwa, mpaka hapo hakuwa amejua kisa lakini akiwa amekutana macho na mdomo wa bastola. Ndipo akaambiwa kuwa, anatakiwa kuwa chini ya himaya ya kimapenzi ya mwanaume huyo la sivyo siku zake zilikuwa zinahesabika.“Niliona ni jambo la ajabu, kwani mwanaume kumtaka mwanamke ni mpaka silaha na kutishia kuua?” alihoji staa huyo mkubwa wa gospo.
AKUBALI YAISHE
Rose aliendelea: “Kwa pale nilikubali kwamba niko tayari kuwa mtu wake lakini nikamwambia tukirudi mjini tukae tuongee kwa kirefu, akakubali.“Tulifika mjini nikiwa najisikia kuumwa sana maana wale wasaizidi wake walikuwa wakinisulubu kwa kunipigapiga pia ile kamba niliyofungwa ilichangia kunipa maumivu makali.”
Mfano wa Bastola iliyotumika.
AKACHA KUKUTANA
Rose alisema walipofika mjini walipanga kukutana baadaye ili wayaongee lakini yeye akakacha kutokea kwenye kikao, hivyo akaenda polisi (hakutaja kituo) ambako alifungua jalada la uchunguzi.“Nimekuwa nikisita kumwanika kwa jina huyo mwanaume kwani yupo na ni adui yangu mkubwa. Naishi kwa tahadhari kubwa sana, naamini siku nikimtaja ataniua.
“Mbaya zaidi najua mambo yake mengi, mabaya kwa mazuri lakini mabaya ni mengi sana kwani hata wakati ananisaidia kuhusu kazi zangu alinitenda maovu mengi, nimemwachia Mungu.”
KWA NINI AMEAMUA KUSEMA?
“Nimeamua kusema ili moyo wangu uwe mweupe, nimekuwa nikiwaza siku hadi siku kuhusu lile tukio, ni kumbukumbu mbaya sana kwangu, lakini kwa kukiri kwangu huku sasa nitakuwa na amani.”
Amani: “Polisi walichukua uamuzi gani?”
Rose: “Walisema wanafanya uchunguzi wa kina lakini sijawahi kuambiwa walifikia wapi!”
Amani: “Baada ya kuingia mitini jamaa hajawahi kukutumia meseji ya kukutishia maisha?”
Rose: “Hapana, alijua nimekwenda polisi.”
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime.
Amani: “Unadhani ni kwa nini alikuteka hadi msituni, kwa nini asikwambie tu kawaida mjini?”
Rose: “Alishawahi kuanza hizo dalili za kunitaka nikamwonesha sitaki, nilimwambia nataka kazi kwake na si mapenzi. Mimi najua fedha ndiyo jeuri yake.”                    
Amani: “Ana familia?”
Rose: “Ana mke na watoto.”
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime alipotafutwa hakuweza kupatikana kuzungumzia ishu hiyo.

House Girl aliyemtesa mtoto UGANDA aomba msamaha

 

Mfanyakazi wa nyumbani aliyenaswa kwenye kanda ya video akimchapa na kumkanyaga mtoto nchini Uganda, amefikishwa mahakamani leo.
Mfanyakazi huyo Jolly Tumuhirwe aliambia mahakama kuwa anajulia kile alichokifanya na hata kuomba msamaha. Ameshitakiwa kwa kosa la kumtesa mtoto Arnella.
Licha ya taarifa ya polisi kusema Jolly atashitakiwa kwa kosa la jaribio la ,mauaji, kiogozi wa mashitaka alimshitaki Jolly kwa kosa la kumtesa mtoto mdogo.
Bi Tumuhirwe alikiri makosa yake na kuomba msamaha. Hakuna wakili yeyote aliyemwakilisha Jolly mahakamani licha ya mmoja wa mawakili mashuhuri kusema angemwakilisha Jolly bila malipo.
Kesi hio imeakhirishwa hadi Jumatano, wakati ambapo hakimu anatarajiwa kutoa hukumu yake dhidi ya Jolly.
Huenda akafungwa jela miaka 15 au kutozwa faini ya dola mianne au adhabu zote mbili.BBC

Obama calls for immediate truce as Gaza toll soars


 

 Gaza City (Palestinian Territories) (AFP) - US President Barack Obama called for an "immediate ceasefire" between Israel and Hamas on Sunday, after the bloodiest day of fighting in Gaza raised the number of Palestinians killed to 476
The UN Security Council expressed concern for the growing number of casualties in Gaza and issued a fresh appeal for an immediate ceasefire as Israel ramped up a major military offensive with fresh strikes Monday in the Palestinian territory.
"The members of the Security Council express serious concern about the growing numbers of casualties," said Rwandan Ambassador Eugene Richard Gasana, whose country chairs the 15-member council.
The Palestinian death toll soared to 476 after the bloodiest single day in Gaza in five years, with a spokesman for the enclave's emergency services saying more than a third of Sunday's 120 victims were women and children.
The Israeli army said 13 soldiers had been killed inside Gaza on Sunday, raising to 18 the number of soldiers killed since the ground operation began late on Thursday.
Late Sunday, the armed wing of Hamas claimed it had kidnapped an Israeli soldier, prompting celebrations in the streets of Gaza City and West Bank cities.
"The Israeli soldier Shaul Aaron is in the hands of the Qassam Brigades," a spokesman using the nom-de-guerre Abu Obeida said in a televised address.
Israel's UN ambassador Ron Prosor denied a soldier had been kidnapped, saying: "Those rumors are untrue."
A spokeswoman for the Israeli military said they were investigating the claim.
- Diplomatic push -
During the urgent Security Council talks Palestinian envoy Ryad Mansour called for decisive steps to end the violence, and voiced frustration with what he termed the top world body's failure to take a strong stand.
"The Council failed again and again to shoulder its responsibility," Mansour told reporters.
Prosor noted Israel had agreed to earlier ceasefire offers from Egypt and was acting in self-defense.
Diplomats said no formal statement was expected to emerge from the session.
Speaking with Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu by telephone early Monday, Obama expressed his concern over the deaths on both sides, the White House said in a statement.
In their second call in three days, Obama "reaffirmed Israel's right to defend itself" and called for an "immediate ceasefire" in Gaza.
US Secretary of State John Kerry was flying to Cairo on Monday for meetings with senior officials from Egypt and other countries.
British Prime Minister David Cameron also spoke with Netanyahu, reiterating "the UK’s strong support for Israel’s right to take proportionate action to defend itself from" Gaza rockets, while expressing condolences over the Israeli deaths and concern over the "mounting civilian casualties in Gaza."
Cameron agreed with Netanyahu that the way out of the "spiral of violence" was through the Egyptian ceasefire initiative, a spokesman for Cameron said.
Ceasefire discussions between Hamas leader Khaled Meshaal and Palestinian president in Qatar were due to take place on Monday after being delayed by a day.
UN chief Ban Ki-moon was also in Doha where he urged Israel to "exercise maximum restraint".
"Too many innocent people are dying...(and) living in constant fear," he told a news conference in Doha.
So far, truce efforts have been rejected by Hamas which has pressed on with its own attacks, undaunted by the Israeli bombardment by land, sea and air.
In the early hours of Monday Israeli jets carried out strikes throughout Gaza, including in southern Rafah and Khan Yunis and northern Beit Lahiya.
Witnesses said warplanes had bombed the home of Hamas politburo member Imad al-Alami in Gaza City, as well as the Khan Yunis home of head of security and police in Gaza, General Saleh Abu Sharekh. No injuries were reported in either attack.
On Sunday thousands of Palestinians fled from Shejaiya, near Gaza City, Shejaiya, after a night of heavy shelling which killed 72, an AFP correspondent reported.
The UN agency for Palestinian refugees UNRWA has opened 61 of its schools to shelter more than 81,000 people who have fled their homes.
The Doctors Without Borders charity urged Israel to "stop bombing civilians trapped in the Gaza Strip", noting the majority of the injured arriving in the Al-Shifa hospital were women and children.
"While the official line is that the ground offensive is aimed at destroying tunnels, what we see on the ground is that bombing is indiscriminate and that those who are dying are civilians," the French NGO said in a statement.
- Netanyahu blames Hamas -
Netanyahu has blamed the civilian casualties on Hamas using innocents "as human shields."
He insisted on Sunday that the military campaign had strong international backing.
"We are carrying out a complex, deep, intensive activity inside the Gaza Strip and there is world support for this... very strong support," he said before a security cabinet meeting.
Although Israel said earlier Sunday it was expanding its ground operation to destroy the network of tunnels used by militants to stage cross-border attacks and fire rockets, Netanyahu said troops could end their mission "fairly quickly".
His Defence Minister Moshe Yaalon also suggested it could end within days, demanding international action to "demilitarise Gaza".
Palestinian militants have over the past 12 days fired 1,414 mortars and rockets that hit Israel, with the Iron Dome air defence system intercepting another 377, the army said.
Thousands participated in rallies in France, Vienna, Stockholm and Amsterdam to oppose Israel's offensive, with a demonstration in the northern Paris suburb of Sarcelles descending into chaos as protesters set fire to bins and looted shops

Two US bombers enter China's new air defense zone





A U.S. B-52 bomber conducts flight training over the U.S. (Photo provided by U.S. Air Force in May)

WASHINGTON -- The U.S. Department of Defense announced Tuesday that two U.S. B-52 bombers flew through the controversial air defense identification zone set up by China over the East China Sea without giving advance notice to Beijing.

According to a department official, China did not issue any warnings or scramble fighter jets in response to the bombers' entry into the zone.

The U.S. sees the designation of the new zone by Beijing as a challenge not only to Tokyo but also to American forces. Washington decided to conduct the flights as a demonstration, having determining that a verbal denouncement of the new zone was not enough to reduce the risk of an accident or other incidents taking place in the skies over the disputed Senkaku Islands, Okinawa Prefecture.

The bombers reportedly took off from Andersen Air Force Base in Guam and entered the zone Monday night, Eastern Standard Time.

Beijing previously announced that its armed forces "will adopt defensive emergency measures to respond to aircraft that do not cooperate in the identification or refuse to follow the instructions."

The demonstration by the U.S. reflects Defense Secretary Chuck Hagel's statement that this announcement by the People's Republic of China will not in any way change how America conducts military operations in the region.

A U.S. defense source said Washington made a point of ignoring Beijing's statement in order to send a message to the world that China's new zone is invalid.

B-52s can carry nuclear weapons, but the two aircraft did not have any bombs on board as they were on a training mission. They were not escorted by any combat planes, either.
 

Copyright © 2013. THE WORLD OF TODAY - Haki zote zimehifadhiwa
Template Modify by World of Today TEAM
Proudly powered by Blogger